Jamani sijielewielewi juu ya my super handsome boss!!! Ushuri please!!!

Ha ha ha. Unajua mshikaj alikuona Mapepe ndo maana alikutoa Dimaa..sasa upepo umetulia ..umapepe wako anahisi Game yako itakuwa Matata, atakutafuna tuu ..sema ndo kila mtu atajua kwa kujifanya kuleta Mapenzi mengi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
I aint a stressing lady! Infact huwa vitu vidogo siwazi kabisa!!! specifically vya humu internent, mtu hujui hakujui? Hizi huwa furahisha genge na kutest keyboard kama zote zinafanya kazi vizuri. Visa haiwez kuexpire maybe niamue tu, na hata ikiexpire sio mwisho wa maisha.

Hongera binti naona ajira mpya imekuwezesha kununua desktop,ucjali jukwaa utalizoe
 
Ha ha ha. Unajua mshikaj alikuona Mapepe ndo maana alikutoa Dimaa..sasa upepo umetulia ..umapepe wako anahisi Game yako itakuwa Matata, atakutafuna tuu ..sema ndo kila mtu atajua kwa kujifanya kuleta Mapenzi mengi.

Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
Hamna kunitafuna kirahisi rahisi awezi, maybe nimpe ila sio anizidi akili! Hapo kwenye viwango vya game napokea compliment kwa mikono yote miwili. Gama XXXXXXXXL hapana chezea!
 
Hongera binti naona ajira mpya imekuwezesha kununua desktop,ucjali jukwaa utalizoe

Bizare bwana desktop usiku huu! watu tuko na I PAD 3 bana umekuja 25th august ungeona huko nyuma nilikuwa nazisupply hapa bongo. Jukwaani nipo toka enzi za JAMBO FORUM maybe nikukaribishe wewe, sema ndo BAN kila siku nachukua new ID
 
Bizare bwana desktop usiku huu! watu tuko na I PAD 3 bana umekuja 25th august ungeona huko nyuma nilikuwa nazisupply hapa bongo. Jukwaani nipo toka enzi za JAMBO FORUM maybe nikukaribishe wewe, sema ndo BAN kila siku nachukua new ID

Alaaa kumbe mkongwe wewe eeeh? Masalkheri...!
 
Hahaha!
LMBO, koh koh!
Can you do the statistics for me plz? Huyu ni wa ngapi vile?
huyo huwa kazi yake ya kwanza ni kukagua id cjui we ni mtu wa ngapi kutibuana naye humu,wwanawake wengine bwana,je ungekuwa unaonana na hawa watu uso kwa uso
 
Nyani Ngabu!

Nipe siri ya kudumu na this ID mda wote huo? Au una id mbili ya heshima na ya kzi?

Siri ni moja tu!

Nina IDs 1000 kidogo.

Kila pande ya dunia ninakoenda nahakikisha najiandikisha kwa IDs si chini ya tatu.

Kwa mfano, nina IDs 5 ambazo niliziandikisha nilipokuwa Perth. Nina IDs 3 ambazo niliziandikisha nilipoenda kwenye cruise Montego Bay, Jamaica. Nina IDs 4 ambazo niliziandikisha nilipokuwa na stopover Frankfurt am Main.....

Hizo zote bado sijazitumia hata mara moja. Ziko standby na mods hawajui kama ni zangu kwa sababu IP addresses ziko tofa na uti.
 
Siri ni moja tu!

Nina IDs 1000 kidogo.

Kila pande ya dunia ninakoenda nahakikisha najiandikisha kwa IDs si chini ya tatu.

Kwa mfano, nina IDs 5 ambazo niliziandikisha nilipokuwa Perth. Nina IDs 3 ambazo niliziandikisha nilipoenda kwenye cruise Montego Bay, Jamaica. Nina IDs 4 ambazo niliziandikisha nilipokuwa na stopover Frankfurt am Main.....

Hizo zote bado sijazitumia hata mara moja. Ziko standby na mods hawajui kama ni zangu kwa sababu IP addresses ziko tofa na uti.


Damn! Man! you are so good in this business ya kuwazunguka modds! You got deep pockets too so it seems all those trips!!!? Specifically on the CRUISE part!!! Im jst saying! LOL! Manake nadamu ya kunguni nitakovamiwa kwa kukusifia we acha tu
 
Damn! Man! you are so good in this business ya kuwazunguka modds! You got deep pockets too so it seems all those trips!!!? Specifically on the CRUISE part!!! Im jst saying! LOL! Manake nadamu ya kunguni nitakovamiwa kwa kukusifia we acha tu

I'm the baddest man on the planet! Mods hawaniwezi mimi. Paw mwenyewe kacheua hapa.

Next trip on the horizon ni Punta Cana, in the DR. Gotta live it up, you know.
 
And waste my bundle to read crappy stuff like yours? When a dull mind says a joke nobody laughs! I need to remove this pop-up blocker in my mind so that I can see 'useless' from afar! Growing old aint fun, I promise u!

Hivi kunakingine nyuma ya pazia au nini kilichokuudhi kiasi hicho juu ya uzi huu Wa Lara we King'asti? Mbona sioni kosa lolote alofanya binti Wa watu mpaka kukutoa mishipa ya shingo kiasi hicho? Hili ni jukwaa ka burudani kuna story za kutungwa na ukweli as long as zinaleta raha shida iko wapi?

Kwa nini kama thread haijakufurahisha usiipotezee tu kuliko kimshambulia kwa hasira kiasi hicho binti Wa watu kama kakunyang'anya mume? Sijapenda kabisa unavyofanya kwa kweli. Siyo vizuri kujiona kuwa wewe ni bora siku zote kuliko wengine. We huwa ni mtata sana huwa naona michango yako mingi. Wanawake mpendane jamani lol
 
Hivi kunakingine nyuma ya pazia au nini kilichokuudhi kiasi hicho juu ya uzi huu Wa Lara we King'asti? Mbona sioni kosa lolote alofanya binti Wa watu mpaka kukutoa mishipa ya shingo kiasi hicho? Hili ni jukwaa ka burudani kuna story za kutungwa na ukweli as long as zinaleta raha shida iko wapi?

Kwa nini kama thread haijakufurahisha usiipotezee tu kuliko kimshambulia kwa hasira kiasi hicho binti Wa watu kama kakunyang'anya mume? Sijapenda kabisa unavyofanya kwa kweli. Siyo vizuri kujiona kuwa wewe ni bora siku zote kuliko wengine. We huwa ni mtata sana huwa naona michango yako mingi. Wanawake mpendane jamani lol

Mie nakupenda wewe manake unaonekana kuwa bora kunizidi. Una mishipa ya shingo?
 
Nawasalimu wakuu!

Ya jana yamepita jamani nimenusurika BAN, namshukuru mola, ila sijakata tamaa, najua MM the F ana play HARD TO GET, na mimi I HAVE ALL THE TIME TO WAIT, sieti hata nyie wakiume mkimtongoza mtu mara ya kwanza mnajua tu cha mbavu na za uso lazima ila hamkati tamaa? Na mimi nakomaa, mpaka ani PM.

Back to the point, mwenzenu nakofanyia kazi huku kuna Bosi wangu Super Handsome!!!!! afu hajaoa wala hana demu mule ofisini ila mapoziii mengi na hivi karudi kutoka masters U.K kujifanya high class wkt za chini ya kapeti zinadai alikuwa mbeba boxi tu huko majuu cheti kachakachua. Full kuninyanyasa na hiki kielimu changu cha kuungaunga cha UDSM, Sinywi maji! sijambi kwa raha! kabla sijaambiwa YOU HAVENT SEEN THE WORLD! nakuwaje mdogo na hivi hata nairobi sijawahi kufika??

Nilivomuona mara ya kwanza kwenye interview badala ya kuwaza jinsi ya kupata hiyo kazi nijikwamue na njaa kali ya kitaa nikawa nimepagawa mtoto, miswali migumu siiwezi nabaki kumpa killer smile tu! akawa haelewi huyu binti 0 kichwani ansmile nini badala ya kutiririsha utirio, out of kindness tu akawa ansmile back. Hamad kazi nikapewa mie nikaanza na mshawasha kweli!. Nikajua tu hapa hii kazi ushahidi tu kanileta tuburudike amasivyo wale intervieew wengine vilaza zaidi yangu.

Wiki ya kwanza tu baada ya kupewa mishushu na makavu livee oblongata ikatulia sasa nikajua tu hamna kuburudika wala nini mwendo wa kazi tuuu! Ila uvunguni mwa moyo wangu bado ule mshawasha ukabakia ila kila nikipewa shushu unapungua mpaka ukaisha kabisaa. Nikajiaminisha vita nimevishinda na pepo la ngono zembe limeshindwa na limelegea.

Sasa si ndo Boss Super Handsome akaniambia nanifeel na tudate kama i feel him too ( tongoza za deportees hizo hawabembelezi sanaaa) Nikakumbuka mishushu na I HAVENT SEEN THE WORLD nikaona ligi nzito, maji ya shingo siyawezi nikamchomolea. Nikamwambia simfeel wala nini achukue time. Basi nshomile hakunibembeleza wala nini ila akaniomba nisvujishe ishu ofisini kuwa nimempa cha mbavu. Nikamwambia usihofu.


Sasa nimezoea ofisi na nimeanza kupata miumbea ya mule kumbe 90% ya vidada mule vinamzimia kinoma, kila siku kumnunulia chakula, si kumpa lift, si kumualika drinks jioni nae anakula tu vyote, hana hiana! mi huu umbea umeniuma kinomaaa! sijui kwanini wakati kumpenda simpendi, wivu sina ila roho yaniuma! Basi kila nikiwaona wapinzani wanagombea jimbo roho yanitoka! Nimebaki nataka huku sitaki.

KITAALAMU HIVI NINA SUMBULIWA NA NINI? NINI TIBA?

Babu asprini nipe uzoefu wako inaonekana umekula chumvi nyingi umeona mengi!!!!

Lara 1, jipe raha kwa kwenda mbele. Unajua kunawatu wanasubiri watongozwe, waambiwe nitakujengea nyumba, gari nitakupa, kadi za benki utakaa nazo wewe. Huo utumwa tumetoka siku nyingi. Kumpenda mtu, kumwambia unavyojisikia si kosa.

Wish you the best!
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom