Mfalme Daud
Senior Member
- Feb 3, 2012
- 166
- 109
Nipo Dodoma. Nina rafiki yangu (mwanamume) analo jambo linalomsumbua na amenifuata nimpe ushauri. Nimeona si vyema, nichanganye na yenu hapa jamvini. Huyu rafiki yangu ana miaka 32, tunasoma naye degree ya kwanza na tunamalizia mwakani. Ana mpenzi wake na ni mzuri kwa kweli, kakamilika kila idara. Kwa kweli ana sifa zote za kuwa mke. Wote ni watumishi wa serikali na wana salary. Kama nilivyoeleza hapo awali, umri wa jamaa unazidi kusonga na alipanga kuoa mwakani baada ya kugraduate.
Mpenzi wa rafiki yangu, hivi juzi akiwa ofisini kwake (Mbeya) alipatwa na Masahibu ya ajabu mapema mwezi huu. Alianguka ghafla mithiri ya mtu mwenye kifafa na kupoteza fahamu. Alibebwa na kupelekwa hospitali. Madaktari walimpima magonjwa yote wakakuta hana. IKABIDI APIGWE X RAY, NDIPO WAKABAINI ANA KOVU KTK UBONGO. ALISHAURIWA KWAMBA TATIZO LINATIBIKA JAPO LITACHUKUA MUDA WA MIAKA 5. Alipewa dozi ya kunywa kila siku kwa muda wa miaka 5. N.B alishauriwa asizae mtoto kwa muda wote huo I.E miaka 5. AKizaa, basi mtoto hatakuwa na akili timamu. Alimpatia mpenzi wake taarifa huku akiwa na hofu nzito KUTOKANA NA KIPINDI HICHO KIREFU. Rafiki, amekuja kuniomba ushauri afanyeje? Kama nilivyoeleza hapo awali, jamaa alichelewa kuoa, ana miaka 32 hana mtoto yeyote. MIAKA 32+MIAKA 5 JUMLA NI 37! JAMAA ANAMPENDA KWELI MPENZI WAKE, AKIMWAMBIA ANAMWACHA ANAOGOPA ANAWEZA CHUKUWA MAAMZI YOYOTE.
NA HILI TATIZO LA KUANGUKA LINAENDELEA KUTOKEA HATA BAADA YA KUANZA DOZI, RAFIKI YANGU ANAENDELEA KUMFARIJI KWAMBA BADO ANAMPENDA. JAPO KWA KINYWA CHAKE AMESEMA YUPO NJIAPANDA KUTOKANA NA UMRI WAKE KUWA MKUBWA I.E 32 YRS. NAOMBENI USHAURI WENU ILI NIWEZE KUMPATIA PLZ.
NAWASILISHA JAMVINI
Mpenzi wa rafiki yangu, hivi juzi akiwa ofisini kwake (Mbeya) alipatwa na Masahibu ya ajabu mapema mwezi huu. Alianguka ghafla mithiri ya mtu mwenye kifafa na kupoteza fahamu. Alibebwa na kupelekwa hospitali. Madaktari walimpima magonjwa yote wakakuta hana. IKABIDI APIGWE X RAY, NDIPO WAKABAINI ANA KOVU KTK UBONGO. ALISHAURIWA KWAMBA TATIZO LINATIBIKA JAPO LITACHUKUA MUDA WA MIAKA 5. Alipewa dozi ya kunywa kila siku kwa muda wa miaka 5. N.B alishauriwa asizae mtoto kwa muda wote huo I.E miaka 5. AKizaa, basi mtoto hatakuwa na akili timamu. Alimpatia mpenzi wake taarifa huku akiwa na hofu nzito KUTOKANA NA KIPINDI HICHO KIREFU. Rafiki, amekuja kuniomba ushauri afanyeje? Kama nilivyoeleza hapo awali, jamaa alichelewa kuoa, ana miaka 32 hana mtoto yeyote. MIAKA 32+MIAKA 5 JUMLA NI 37! JAMAA ANAMPENDA KWELI MPENZI WAKE, AKIMWAMBIA ANAMWACHA ANAOGOPA ANAWEZA CHUKUWA MAAMZI YOYOTE.
NA HILI TATIZO LA KUANGUKA LINAENDELEA KUTOKEA HATA BAADA YA KUANZA DOZI, RAFIKI YANGU ANAENDELEA KUMFARIJI KWAMBA BADO ANAMPENDA. JAPO KWA KINYWA CHAKE AMESEMA YUPO NJIAPANDA KUTOKANA NA UMRI WAKE KUWA MKUBWA I.E 32 YRS. NAOMBENI USHAURI WENU ILI NIWEZE KUMPATIA PLZ.
NAWASILISHA JAMVINI