USIWE NA SHAKA KILA KITU KINA WAKATI WAKE!!!!Duh! Hivi Mh. Lema kakosa nini kiasi cha kusota lupango mpaka leo? People's Power iwapi na viongozi mlituahidi kuja kwa wingi mahakamani kumtoa mbunge wetu, kama hataachiwa!
Kipi kimewarudisha nyuma makamanda wangu ? Halafu siwaoni viongozi wa kitaifa hata mmoja kuja mahakamani kumpa kampani!, mmemuacha mwenyewe na askari magereza!! Inaniuma sanaa!