kheri wazeiya?
Nilidhani bongo kwetu ndo kunatatizo la maisha mabovu kwa wananchi ambao tena wanaishi katika miji ambayo inamadini ya kutosha...labda hii ni kwasababu wachimbaji wadogo wadogo hawana utaalamu wowote juu ya madini hayo na biashara yenyewe! Lakini, kwani wanatakiwa waifanyaje hii kazi? Naweza kujaribu kujitupa?
Kumbe hata people wa congo pamoja na utajiri wote ule wa madini wanasota kama kawa........
Nilidhani bongo kwetu ndo kunatatizo la maisha mabovu kwa wananchi ambao tena wanaishi katika miji ambayo inamadini ya kutosha...labda hii ni kwasababu wachimbaji wadogo wadogo hawana utaalamu wowote juu ya madini hayo na biashara yenyewe! Lakini, kwani wanatakiwa waifanyaje hii kazi? Naweza kujaribu kujitupa?
Kumbe hata people wa congo pamoja na utajiri wote ule wa madini wanasota kama kawa........