snipa JF-Expert Member Dec 10, 2013 4,215 1,656 Apr 14, 2014 #2 Wanaochagua ni Walimu Wakuu ! Kila mkuu washule anaenda pale kujichagulia Wanafunzi wake ! Na Wakuu wa shule bado wapo shuleni sahizi ! Sasa pigia mahesabu mwenyewe :closed_2:
Wanaochagua ni Walimu Wakuu ! Kila mkuu washule anaenda pale kujichagulia Wanafunzi wake ! Na Wakuu wa shule bado wapo shuleni sahizi ! Sasa pigia mahesabu mwenyewe :closed_2:
snipa JF-Expert Member Dec 10, 2013 4,215 1,656 Apr 15, 2014 #4 dfreym said: post au selection? Click to expand... ni Post au Selection ! :closed_2:
Sizinga Platinum Member Oct 30, 2007 9,101 6,025 Apr 15, 2014 #5 dogo nenda tuition kwanza. ..piga hata nusu ua syllabus za masomo yako. Kwann unapata headache wakati kuku ni wako? atakuja tu bandani mida ikiyoyoma.
dogo nenda tuition kwanza. ..piga hata nusu ua syllabus za masomo yako. Kwann unapata headache wakati kuku ni wako? atakuja tu bandani mida ikiyoyoma.