Munkari
JF-Expert Member
- Feb 9, 2013
- 8,084
- 4,351
Haha! Si ndo nimeshtuka muda huu sijui nimeota ?? nilisikia hao double P wanakuja tz .lini jamani nataka kuwaona laivu mwenzenu!! Sijui wataimba 'no one like you' loh! Jamani watakuwa wapi? Au weshakuja miye nilikuwa nimelala? Mbona hamkuniamsha?niambieni ukweli wamekuja bado nifumue hela kwenye kibubu zitaozaa!!?? Aaagh!! et babu Asprin Kaizer umelala?nisindikize DEMBA Kasema....mmenichuniaaaaaa!! Mh! Afu kimya ! Wacha nilale!!
Last edited by a moderator: