Ni juzi nilienda katika ofisi moja ya kampuni kubwa hapo Njombe, ila nilichokutana nacho ni shidaa of course nilienda kuomba nafasi ya kufanyia field ila daaah! Kuna watu wanaona wamewin kuliko sisi yule jamaa wakati mim namweleza shida yangu yeye alikua na sim akichati utadhani anaongea na mtoto wake ukweli nilichukia sana.
Alikuja kubadilika baada ya kumpigia kumpia sim mkubwa wake, ndo akaanza kunichangamkia uzuri ni kuwa boss wake nilikua nafahamiana nae ila sikumchomea kwani maisha yapo kama Gwalide akisema nyuma geuka wa kwanza hua wa mwisho. Mungu ndie anaeweza kukupatia au kukunyima.
Naomba mnisamehe tu mimi sio mwandishi mzuri.
Alikuja kubadilika baada ya kumpigia kumpia sim mkubwa wake, ndo akaanza kunichangamkia uzuri ni kuwa boss wake nilikua nafahamiana nae ila sikumchomea kwani maisha yapo kama Gwalide akisema nyuma geuka wa kwanza hua wa mwisho. Mungu ndie anaeweza kukupatia au kukunyima.
Naomba mnisamehe tu mimi sio mwandishi mzuri.