Lyampinga
Senior Member
- Apr 13, 2008
- 145
- 61
Muajiri wangu alitaka wafanyakazi wote tukafungue account NMB house pale azikiwe hili tuweze kuchukulia mishahara kwenye account zetu, lakini leo ni mwezi wa pili, napigwa danadana kuhusu kadi yangu ya kuchukulia hela kwenye ATM. Na mwezi wa kwanza nikaambiwa picha yangu haipo kwenye system kwahiyo siwezi kupewa pesa, na mimi nilipeleka picha wakati wa kufungua, sasa ilibidi meneja aanze ku sign karatasi nipewe hela, Yaani nashindwa kuelewa hii bank ya makabwela...NAWAOMBA WANA JF MSITHUBUTU KWENDA KWENYE HII BANK HATA KWA KUFUNGUA ACCOUNT