Jamani Nitapatawapi Hii T-Shirt?

Ndallo

JF-Expert Member
Oct 1, 2010
7,619
4,292
Wakuu nimeguswa sana na haya maneno kwenye hii T-Shirt mwenye kujua zinapouzwa anijuze na mimi nisipitwe!
DSC07260.JPG
 
Kuna kingine kimeongezeka!

NO GAS ya kupikia


naskia inatarajiwa kupatkana kuanzia tar 10 sasa sijui kweli au propaganda!!!
 
Ingependeza sana kama watanzania tungevaa hii T-shirt on 9th December...............tumechoshwaaaaaaaaaa.
 
No employment.............
No president...............
No national team
 
Jamani kama na vingine vilivyoongezwa hapo ni sawa, si ndo tayari tumeuzwa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom