Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

BIG THANKS Mkubwa wewe ndo uliyetoa Point utafikiri umelala nami kichwani mwangu!
1. Jamaa anmkubali Binti sana 2 ingawa hana CARE ambayo Binti anahitaji kutoka mumewe!
2. Ana nia thabiti na yupo tayari kwa lolote coz ananipa data zote za jamaa na mipango 2napanga wote!
3. Yap hapo umenena ngoja nichat nae nimuulize jamaa ana hasira level gan!
Poa hapa zoezi lazima liendelee coz "THERE Z NO FAILURE EXCEPT IN NO LONGER TRYING"

Mpe panga na shoka.
 
Ndugu, Ushauri wa Bure toka kwa nduguzo,..Wenzio tushapitia njia hio, Sahau na wachana na huyo Kiumbe, ashaenda na ashaenda...Vumilia na utamsahau, kumbuka huyu si nduguyo ama mzazi ambae huwezi msahau, mtu ulimjua kawa mtu mzima. Wachana na Sahau!!!!!!!!!!!!!!
 
Mwambie amnyime unyumba, kwa mujibu wa sheria ya ndoa inakubalika ndoa kuvunjika na ndo njia salama tu kati ya zote zilizoainishwa.
 
kama jamaa aliamua kumvisha pete ya ndoa wakati tayari
bibie alikuwa na pete ya uchumba uliyomvisha basi bila shaka jamaa
atajua binti alikuwa na mtu kabla yake sasa fanya hivi
1. bibie aanze kukutajataja na kukusifia kwa mumewe (usijali kwani upo tayari kwa lolote)
2. wakati wa unyumba na mumewe bibie awe akalitaja jina lako
3. bibie amtangazie mumewe kwamba hamridhishi kwenye tendo la ndoa na anatamani angeolewa na wewe

utafanikiwa
 
Je, walifunga ndoa kanisani? au msikitini, au bomani?

Kama ni kanisani kwa mfano kanisani kwetu huwa mfungisha ndoa anauliza maswali haya hapa:-
1. Je mmefika hapa kufunga ndoa kwa hiari yenu pasipo shuruti bila kusukumwa na mtu yeyote?..............................(agetoa majibu sahihi kama vile HAPANA.

2. Wewe Hydrogen unampokea Oxgen awe mume wako na unaahidi kumpenda katika shida na raha................................toa jibu ndio au hapana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom