Mamushka
JF-Expert Member
- Feb 17, 2010
- 1,595
- 99
BIG THANKS Mkubwa wewe ndo uliyetoa Point utafikiri umelala nami kichwani mwangu!
1. Jamaa anmkubali Binti sana 2 ingawa hana CARE ambayo Binti anahitaji kutoka mumewe!
2. Ana nia thabiti na yupo tayari kwa lolote coz ananipa data zote za jamaa na mipango 2napanga wote!
3. Yap hapo umenena ngoja nichat nae nimuulize jamaa ana hasira level gan!
Poa hapa zoezi lazima liendelee coz "THERE Z NO FAILURE EXCEPT IN NO LONGER TRYING"
Mpe panga na shoka.