Jamani Nisaidieni Mbinu za Kutenganisha Wanandoa!!!

Eng. Smasher

JF-Expert Member
Nov 13, 2010
745
23
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!
 
wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.
 
Mambo vipi familia kubwa ya JF!!

Kwanza naomba samahani kwa hii maada lakini nipo serious kupita maelezo!!
Nilikuwa na demu wangu 2lipendana sana lakini wazazi wake walimpenda zaidi coz waligoma nisimwoe mwanae akawa kaolewa na jamaa mwenye pesa!

Sasa hivi wapo kwenye ndoa wiki 2 lakini naendelea kula TUNDA kama kawa na tunachat nae muda wote hata kuwasiliana full tym!Binti ananipenda na yupo tayari kwa lolote!!

Kabla hajaolewa nilimvisha PETE ya uchumba then jamaa kamalizia PETE ya NDOA!!
Ni kama movie lakini ni kweli sasa hivi 2na mpango wa kumfanya jamaa atoe TARAKA!!

Jamani naomba mnisaidie mbinu za kufanya jamaa atoe talaka coz 2na mipango mingi sana na huyu Binti lazima nimwoe hata kama ni Bomani!! Nifanye nini??!!

jaribu kujiweka katika nafasi ya huyo mume, kisha kuna mtu anakugongea mke wako na anataka kuachanisha ndoa yenu, wewe ungejisikiaje?
 
wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.

hallow sweetie, mbona unapatikana kwa kubeep sana?
 
Cjauna na cjawai sikia kituko kama hiki.Pole sana kubali yaishe,achana nae go on with your life sio kweli kwamba YOU CAN NOT LIVE WITHOUT HER
 
Tulijaribu kila njia ikashindikana hadi hiyo ya kumvika PETE ya uchumba lakini jamaa akavika juu yake ya NDOA!!
Pls nisaidieni hizo mbinu!!

wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.
 
wewe!!!!
unaota?
ulikuwa wap kuzuia b4 awajaenda kansan?
km anakupenda kweli ANGEKUWA NA MSIMAMO WA KUMKATAA UYO BWANA MAPESA ILI ABAK NA WEWE..?
UYO DEMU ANAPENDA MITALA NA SI KM ANAKUPENDA WEWE....kwa kipnd iki issue za kulazimishana km enz zileeeee azipo tena ...ukionyesha msimamo mara mbl tatu bas wazazi wanakuacha uendelee na umpendae....
endelea kumega mpk pale MTAKAPOFUMANIWA NDO UTAJUA CHA KUFANYA.

Engineer hebu integrate na kisha udifferentiate hayo maneno ya mdogo wangu Rose80 kisha tufunge hii sredi tukale krismas
 
Kweli wewe una matatizo, yaani huoni kua huyo binti ni muongo na hakupendi? simple reasoning, kama sasa ivi yuko kwene ndoa na una-do nae the same applies akija kwako ataendelea ku-do huko kwingine ajuako, sasa je, utakua tayari kusikia stori tamu kama hizo kua shemeji ana midume kibao nje? she was not meant to be with you, think big mpwa mbona wapo wengi tu?
 
mkuu wako wengi,sio lazima huyo.kama ilishindikana mwanzoni wakati umeshamvisha na pete ya uchumba, nini kinakufanya ufikirie itawezekana sasa hivi wakati ameshaolewa?ushauri wangu we potezea tu.kwanza demu mwenyewe kakiri kumpenda huyo jamaa ndio maana kaolewa.na kwa ninavyoona amekua anamegwa na huyo jamaa tangu zamani.tafuta kang'amuzi kipya tu, hicho kwanza tayari used kuliko mpaka sasa
 
Hata kama nikijiweka haisaidii coz jamaa anaonekana hampi CARE za kutosha na anajua HAPENDWI ila kalazimisha ndoa!!

jaribu kujiweka katika nafasi ya huyo mume, kisha kuna mtu anakugongea mke wako na anataka kuachanisha ndoa yenu, wewe ungejisikiaje?
 
Sawa wapo wengi but not lyk her coz nimeshajaribu lakini nimeshindwa!!
Naona THERE IZ NO ONE LYK HER!! Pls nipe mbinu

Kweli wewe una matatizo, yaani huoni kua huyo binti ni muongo na hakupendi? simple reasoning, kama sasa ivi yuko kwene ndoa na una-do nae the same applies akija kwako ataendelea ku-do huko kwingine ajuako, sasa je, utakua tayari kusikia stori tamu kama hizo kua shemeji ana midume kibao nje? she was not meant to be with you, think big mpwa mbona wapo wengi tu?
 
Tulia mpwa, utamu upo popote sio kwa huyo tu, huyo ni shetani anaekufanya uone kua huwezi toka ukafanya maamuzi yako binafsi! be the Man, nitafurahi kama utaahidi kubadilika kabla ya mwaka mpya kuanza
 
Naomba muelewe kuwa nilimvika pete ya uchumba wiki 1 kabla ya NDOA!!
Ili jamaa akiona aahirishe coz walikuwa kwenye process ya NDOA yao!!

mkuu wako wengi,sio lazima huyo.kama ilishindikana mwanzoni wakati umeshamvisha na pete ya uchumba, nini kinakufanya ufikirie itawezekana sasa hivi wakati ameshaolewa?ushauri wangu we potezea tu.kwanza demu mwenyewe kakiri kumpenda huyo jamaa ndio maana kaolewa.na kwa ninavyoona amekua anamegwa na huyo jamaa tangu zamani.tafuta kang'amuzi kipya tu, hicho kwanza tayari used kuliko mpaka sasa
 
I dont think is a good idea,,, what u have to do is go on with someone else na utasahau tuu nini kilipita,,,kwani wenzio wako kwenye ndoa tayari kama kweli wampenda basi muache muokoe na mitihani kama hiyo,,,na we tafuta wako kwani hata wazazi wake hawkutaki,,,
 
Mpwa, pima mwenyewe sasa ila nashindwa kukuelewa yaani kweli mtu mmekutana tu leo useme huwezi kuishi bila yeye? think twice and not sink twice
 
THANKS kwa ushauri lakini naomba mnipe ushauri huku mnanipa na MBINU hata chache pls ili nijaribu vyote!!!

Tulia mpwa, utamu upo popote sio kwa huyo tu, huyo ni shetani anaekufanya uone kua huwezi toka ukafanya maamuzi yako binafsi! be the Man, nitafurahi kama utaahidi kubadilika kabla ya mwaka mpya kuanza
 
Hatujakutana leo mkuu but ni LONG TYM!!
Sio kwamba siwezi kuishi bila yeye lakini mimi naona ndo aliyemit vigezo vyote vya kuwa MKE WANGU!!

Mpwa, pima mwenyewe sasa ila nashindwa kukuelewa yaani kweli mtu mmekutana tu leo useme huwezi kuishi bila yeye? think twice and not sink twice
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom