Jamani nisaidieni ipi lotion au mafuta mazuri ya kung'arisha ngozi

toplemon

JF-Expert Member
Mar 26, 2017
4,583
4,615
Ipi lotion ya kiume inafaa kwa men?isiwe inachubua na iwe inasoftisha tu ngozi

Na pia nataka ya kung'arisha kwa ajili ya demu wangu aka wife mtarajiwa
 
Hellow guys...........
Toplemon itakufaa au carolite
Nisaidieni lotion nzur ambayo inang'arisha ngozi

Iwe bei kati ya kuanzia 3000 mpaka 10000
Iwe kwenye hilo gape la 3000------na------10000

Pls wadau
Nipo serious
 
Hellow guys...........

Nisaidieni lotion nzur ambayo inang'arisha ngozi

Iwe bei kati ya kuanzia 3000 mpaka 10000
Iwe kwenye hilo gape la 3000------na------10000
Hata kwa kunipm pls
Pls wadau
Nipo serious
Sperm oil, inapatikana bure kwa wanaume tu.
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom