Jamani nawezaje kupata uraia wa Rwuanda? kama chenge atakuwa spika wa bunge la JMT na EL kugombea uraisi 2015 na RA kuendelea kugharamia mafisadi basi kiama cha Tanzania kimefika. Nahitaji kuhamia Rwuanda tukasaidiane na Kagame kukuza uchumi ili wakati watanzania wakiangamia kwa umaskini mimi nisiwe shuhuda au miongoni mwao. CCM ni hatari kuliko firauni au lusifa.