Pole kwa kukwazika, na bado watu hawaelewi binafsi simsemi mtu ila nimepinga tabia ya wizi na kubeza au kudharau wengine. Tuko hapa kujikwamua na tunafikiri ktk umoja huu tunajengana na kuinuana. Sasa tukianza kushabikia wizi au kudharau watu wa chini sijui italeta picha gani. Mkuu tuko pamoja, tukikosa tunawekana sawa yanaisha.
Haya mkuu nisamehe, Tatizo nilivopost nikataja Kitomai watu wakanishambulia kuwa namtetea, aliyekuja kutoa clarification ni mwingine kabisaa mathematics , wewe ulitakiwa tu useme kuwa nimechanganya! BTW, pole sana, kwa hiyo aliyekutapeli ni nani mkuu?
Last edited by a moderator: