King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,644
- 68,593
Dawa ya hao wezi ni ndogo ebu ni inbox namba yake tu then subiria kukuletea mwizi mkononi.
kaka aliezoa kazoea u ndo kawaida yaoLaki tatu zitampeleka wapi?Aibu nyingine ni za kuzikwepa kwa gharamu zozote.
Hamna haja ya kudhulumu
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?
Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!
Haya mtaji hapa huyo mtu wako
Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,
Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?
Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!
Haya mtaji hapa huyo mtu wako
Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,
Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?
Acha dharau we Pimbi
Dawa ya hao wezi ni ndogo ebu ni inbox namba yake tu then subiria kukuletea mwizi mkononi.
Bado siamini kilichotokea. Huyu jamaa nilishawahi kufanya naye biashara kama mwaka umepita. Kama miezi mitatu imepita alikuja kaka yangu akaona ile mifugo niliyoagiza kwa huyu jamaa akatamani naye aifuge hivyo akaniomba nimwagizie halafu nimtumie maana yeye anaishi Lindi
Nikaongea na huyu mjasiriamali akanihakikishia mzigo anao ndipo tukakubaliana nimtumie pesa kama laki 3 hivi ili autume. Baada ya kutuma hela jamaa akaanza sababu mara amekosa basi na hatimaye anauguza hadi leo nikimpigia simu hapokei wala hajibu SMS zangu.
Namtahadharisha kuwa dhuluma siyo nzuri kwenye maisha na atambue kuwa yatakuja kumtokea pabaya maana ameweza kunifanyia hivi mimi ambaye sitaweza kumfanya kitu ila atakuja kumfanyia mtu ambaye anapenda revenge. Mimi naamini zaidi kwenye KARMA
Asanteni
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?
Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!
Haya mtaji hapa huyo mtu wako
Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,
Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?
Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!
Haya mtaji hapa huyo mtu wako
Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,
Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?
we nae sijui umetokea zizi gani?kwani hiyo laki tatu aliiokota?
Et kufanya biashara na maskini...listen to ur poorself!
Unaleta dharau wakati hiyo laki tatu unaitamani!
Kama ni huyu Kitomari wa bata mzinga,mara nini sijui, atakuwa ametuabisha wote hapa jamvini. Inakera sana. Yaani sasa Bongo ni kuchakachua kila kitu.
Tukiambiwa Wa-tz tunaiba hadi vijiko ktk mahotel ya kitalii tunalalama.
Ni kweli Mimi pia hakunitumia.mpaka sasa hapokei simu yangu Mimi nilimpa hiyo hela mwaka Jana amekuwa akinipa kiswahil cha kila namna. Yangu ni laki na nusu.
Bado siamini kilichotokea. Huyu jamaa nilishawahi kufanya naye biashara kama mwaka umepita. Kama miezi mitatu imepita alikuja kaka yangu akaona ile mifugo niliyoagiza kwa huyu jamaa akatamani naye aifuge hivyo akaniomba nimwagizie halafu nimtumie maana yeye anaishi Lindi
Nikaongea na huyu mjasiriamali akanihakikishia mzigo anao ndipo tukakubaliana nimtumie pesa kama laki 3 hivi ili autume. Baada ya kutuma hela jamaa akaanza sababu mara amekosa basi na hatimaye anauguza hadi leo nikimpigia simu hapokei wala hajibu SMS zangu.
Namtahadharisha kuwa dhuluma siyo nzuri kwenye maisha na atambue kuwa yatakuja kumtokea pabaya maana ameweza kunifanyia hivi mimi ambaye sitaweza kumfanya kitu ila atakuja kumfanyia mtu ambaye anapenda revenge. Mimi naamini zaidi kwenye KARMA
Asanteni
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Pole Gayo,
Asante kwa kuniokoa,ilikuwa niagize hao bata week chache zijazo. Weka na simu yake hapa tumpe sms za moja kwa moja,hata kama atakuwa anasoma kwa id nyingine.
Miezi mitatu tu tayari umekuja kumtangaza hapa je ingekwa miezi sita si ungefika hadi aljazeera?
Kweli kufanya biashara na masikini yataka moyo!
Haya mtaji hapa huyo mtu wako
Soma sheria za jf juu ya ufanyaji biashara ya hspa,
Swali: Je uliwahusha mods kabla ya kuanza hiyo biashara?