sasa mbona hujanitendea haki kwa SENX mama/baba?haaaaahaaa TEAMO unavojua kugongelea misumari kazi kweli kweli
Kaka, dada, mama, baba, bibi na babu zangu
Natumaini wote wazima.................
Jamani nimekaa hapa masikiliza hizi nyimbo za zamani toka Uhuru FM nikakutana na huu wimbo wa zamani, unaimba
"Kisa alichonitenda Rehani oh sitakisahau kamwe,
amenishawishi nimuache mume wangu ili niishi naye.
Nimeachana na Mume wangu eh nimekwenda kwa Rehani,
baada ya muda si mrefu, asema niondoke sina tabia nzuri oh....................
Npmebaki najiuliza maswali mawili, Najua haya mambo yanatokea kwa watu.............
1. Hivi wanaume mnapotushawishi kuchukua uamuzi wa aina hii huwa mnamaanisha au ndo kutukejeli? :frown:
2. Sie kina dada, how comes tunaamini ahadi kama hizi?.......Hivi kweli tunadanganyika??
Hakuna hata moja niloelewa hapa.................mwe hadi kipompwiso kimechoka kabisa.Na wewe kwa nini ukubali kumuacha mume wko bila sababu? Kwa nini kushikiwa akiri dada angu.
unajua, mi nikikudangaynya, na wewe ukadanganyika, , then mi nitakuona zuzu, tena nikisha ng'ata tu fasta nakula kona, naamini kitatokea kidume kama mimi kitakudanganya then utaniachia kovu.aku thitaki mie kuumizwa.bt may be it's nature, mi demu wangu anaandikiwa msg gd 9t, usiku wa manane ye bado haoni kama ndo misele inaanza, yy anaona sawa tu.na mbichwa wake unazid kuwa mkubwa. dada angu kaa chonjo najiandaa kudanganya kwani mamii wangu ananizingua.
sign yako na ya Roy...mhhh
Kaka, dada, mama, baba, bibi na babu zangu
Natumaini wote wazima.................
Jamani nimekaa hapa masikiliza hizi nyimbo za zamani toka Uhuru FM nikakutana na huu wimbo wa zamani, unaimba
"Kisa alichonitenda Rehani oh sitakisahau kamwe,
amenishawishi nimuache mume wangu ili niishi naye.
Nimeachana na Mume wangu eh nimekwenda kwa Rehani,
baada ya muda si mrefu, asema niondoke sina tabia nzuri oh....................
Npmebaki najiuliza maswali mawili, Najua haya mambo yanatokea kwa watu.............
1. Hivi wanaume mnapotushawishi kuchukua uamuzi wa aina hii huwa mnamaanisha au ndo kutukejeli? :frown:
2. Sie kina dada, how comes tunaamini ahadi kama hizi?.......Hivi kweli tunadanganyika??
ndio hapo naona kama hawa awalinogewa wakajisahau wakitaka kuhalalisha kabisa....
gmrng my luv...jana kuna amhali ulisema umetokea guest, nitoe wacwac kwamba ulipeleka wale wageni wetu.
Kaka, dada, mama, baba, bibi na babu zangu
Natumaini wote wazima.................
Jamani nimekaa hapa masikiliza hizi nyimbo za zamani toka Uhuru FM nikakutana na huu wimbo wa zamani, unaimba
"Kisa alichonitenda Rehani oh sitakisahau kamwe,
amenishawishi nimuache mume wangu ili niishi naye.
Nimeachana na Mume wangu eh nimekwenda kwa Rehani,
baada ya muda si mrefu, asema niondoke sina tabia nzuri oh....................
Npmebaki najiuliza maswali mawili, Najua haya mambo yanatokea kwa watu.............
1. Hivi wanaume mnapotushawishi kuchukua uamuzi wa aina hii huwa mnamaanisha au ndo kutukejeli? :frown:
2. Sie kina dada, how comes tunaamini ahadi kama hizi?.......Hivi kweli tunadanganyika??