John W. Mlacha
JF-Expert Member
- Oct 4, 2007
- 3,504
- 1,341
naona uzee unaninyemelea wandugu sina mshichana na wala sijawa na hisia za kuanza kutafuta na ki finacial nipo safi na kielimu pia ..but i realy dont know the age of getting marriage.. nakaribia kuwa na miaka 30 baada ya mwaka mmoja ..je nitafute mke au bado niendelee kuwa bachela?
kuna tatizo lolote kubaki hivi ..msaada wenu watu wangu unahitajika hapa ..msinirushia madongo kwani mawazo yenu as a great thinker yatanijenga na wala sio kunibomoa ..
thanks guys and have a nice time:
kuna tatizo lolote kubaki hivi ..msaada wenu watu wangu unahitajika hapa ..msinirushia madongo kwani mawazo yenu as a great thinker yatanijenga na wala sio kunibomoa ..
thanks guys and have a nice time: