ismail hassan
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 685
- 1,611
Na hesabu za kule sio ngumu sana, business mathematics anatoboa mana ataenda kusoma statistics,matrix,rate and exchange,sequence and series na algebra kidog kwenye somo la hesabu na hawaingii deep sana,
kwenye somo la finance yapo maelezo kibao atamudu hesabu atakazokutana nazo ni za kawaida sana capital budgeting,working capital, risk and return hapo kamaliza, akija kwenye economics hapa ni hesab za kujulmish kutoa na kugawanya sio ngum., account pia sio ngumu.
Ila akienda huko kwenye sayansi na matokeo yake hayo lazma atapata tabu mno.
Anaenda hata kama hajafaulu hesabu, kulingana na muongozo wa TCU,
kwenye somo la finance yapo maelezo kibao atamudu hesabu atakazokutana nazo ni za kawaida sana capital budgeting,working capital, risk and return hapo kamaliza, akija kwenye economics hapa ni hesab za kujulmish kutoa na kugawanya sio ngum., account pia sio ngumu.
Ila akienda huko kwenye sayansi na matokeo yake hayo lazma atapata tabu mno.
Anaenda hata kama hajafaulu hesabu, kulingana na muongozo wa TCU,