:A S 465:Wadau naomba anayejua anipe majibu kabla ya siku ya kupiga kura. Nimejiandikisha kupiga kura Dar es Salaam lakini sasa nipo mkoa mwingine, je naweza kumpigia president kura?:A S 465:
Tuache midhaha, ni muhimu NEC wakatoa ufafanuzi mapema juu ya hili. Na mengine mengi ya mhimu kama kuweka daftari la wapiga kura angalau wiki hii tukajua kama tutapiga kura ama la na tupate nafasi ya kutafuta majibu mapema iwezekanavyo.
:A S 465:Wadau naomba anayejua anipe majibu kabla ya siku ya kupiga kura. Nimejiandikisha kupiga kura Dar es Salaam lakini sasa nipo mkoa mwingine, je naweza kumpigia president kura?:A S 465:
Ni hivi wana Jf, kama ulijiandikisha kama mpiga kura mahali fulani, utaratibu wake ni huu:- kama upo jimbo lile lile ila umehama kata moja kwenda nyingine utamchagua mbunge na rais tu, diwani hautamchagua. Kama umehama jimbo moja kwenda jingine, utamchagua rais tu, diwani na mbunge hautamchagua. So kwa muanzisha mada hii atamchagua rais tu. NAKARIBISHA MASWALI. Na mimi ili kupima kama mmeelewa ntawaulizeni maswali mwisho wa somo hili.
Niliuliza swali kama hili, kwamba , je naweza kupiga kura kwa rais nikiwa nimehamia jimbo tofauti na lile nililojissndikisha; nikaambiwa (siyo na watu wa tume) kwamba naweza kupiga kura kwa rais iwapo nitakuwa na passport. Bado sina taarifa sahihi na hili. basi iwapo una uhakika nalo tafadhali tujuze.
:llama:Nawashukuru sana wadau kwa majibu, lakini kuna mdau mmoja ameuliza kuwa kwenye kituo cha kupiga kura huwa kunakuwa na majina ya wapiga kura wa eneo lile, je nifanyeje ili nitambulike pale kwa kupiga kura ya raisi? Passport ninayo, je? watanielewa kwa hii?
:A S 112:MAMBO YA AJABU HULETWA NA WATU WA AJABU:smow:
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.