Pearl, pole sana. Sio ajabu mvua ikinyesha kuandamana na watu kadhaa kukumbwa na mafua, kubana vifua, vikohozi na homahoma. Ijulikane kwamba mvua hutibua mavumbi na vimelea kutoka chini na kuifanya layer ya chini ambamo tunaishi na kuvuta hewa yake iwe nzito na iliyotibuka. Mwili nao umeumbwa kwa ustadi kupambana na hali korofi kama hizo. Hewa iliyotibuka kupata pingamizi kutoka mwilini ambapo puwa huwa na kazi ya ziada kuchuja taka na kuekebisha ujoto sahihi unaoweza kustahimilika na mapafu ambayo ni dhaifu. System nzima ya hewa hubadilika kuhimili mabadiliko hayo na ndio mana tabaka la juu "mucosa layer" ya respiratort tract huongeza utando wa mucus ili kunasa tabaka chafu linalopenya kwenye hairy nose. Ex-peristalsis huchukuwa nafasi ambapo wakati nywele za puani huswaga uchafu ulionaswa na kuzamishwa kwenye kamasi iliyotengenezwa kwa uoshwaji huo, mucosal fluid nayo kutoka chini zaidi ya njia ya hewa huswaga uchafu kuelekeza mdomoni na puani ili ukohoe na kutema as a reflection.Naomba ushauri jamani,yani mvua ikinyesha naumwa sana vichomi na pia nabanwa na kifua sana,lkn leo kiuno kinaniuma sana hata sijui tatizo ni nn,nisaidieni
yaani kwa afya yako mimi NIKO RADHI KUFUNGA 24/7eeeeh that was lovely swty kumbe u kufungad for me?wow
unajuaje kwamba utaumwa tena?ok thas gud dia kesho ntaumwa tena
hivi wewe ndugu,Am happy kwamba leo una nafuu, God bless
hehehehe!si ntajifanya naumwa ili ufunge 24/7?
hiyo ni kama NGIRI kwa upande wa wanaume nadhani kwa wanawake inaitwa CHANGO( sina uhakika na hilo jina), dawa kubwa ya hiyo kitu ikikutokea ni kunya kitu inaitwa SHUBIRI au MWAROBAINI, na kama utashindwa basi CHAI YA MOTO SANA INAFAA JAPO SIO EFFECTIVE KAMA HIZO ZA MWANZO
Nadhani ulitaka kumaanisha kunywa;hiyo ni kama NGIRI kwa upande wa wanaume nadhani kwa wanawake inaitwa CHANGO( sina uhakika na hilo jina), dawa kubwa ya hiyo kitu ikikutokea ni kunya kitu inaitwa SHUBIRI au MWAROBAINI, na kama utashindwa basi CHAI YA MOTO SANA INAFAA JAPO SIO EFFECTIVE KAMA HIZO ZA MWANZO
vizuri sana kwa kumuombea pearl,na sisi wengine tukiumwa tutakuomba utuombee!Sala nilizopiga jana, huyu mtu leo lazima kashapona.!
Nadhani ulitaka kumaanisha kunywa;
Tuendelee................!!!!!!!!!!