mwanakijiji lugusi
Senior Member
- Apr 13, 2016
- 128
- 96
Wadau Mimi mwenzenu nipo huku kijijin chaka kbsa na ni mtoto wa mkulima kbsaa na cjawah kanyaga dar but napasikiaga tu sasa nmepata nafasi ya kupiga buku pale je chuo cha DUCE kuna hostel na je kama hazipo chumba sh ngap huko dar?