Elections 2010 Jamani nataka kujua matokeo ya jimbo la segerea, korogwe na ukonga.

quimby_joey

JF-Expert Member
Nov 2, 2010
390
164
Waungwana naomba kujuzwa matokeo ya majimbo ya ukonga, segerea na korogwe kwa mtu mwenye taarifa rasmi
 
kuhusu segerea na ukonga sijapata taarifa ila korogwe yapo majimbo 2(mjini na vijijini) kwa vijijini ameteuliwa prof maji marefu wakati mjini amepita yusuph nassir
 
Back
Top Bottom