Jamani naombeni sana kama mtu anayo au anajua namna ya kuipata email address ya deputy secretary wa UN
Bi Asha Migiro ili tumfikishie ujumbe huu hapa chini ili ajionee mwenyewe human right violation inayofanywa na
Tanzania regime kwa raia wake kusudi langu kwake ni moja tu akiwa kama mmoja wa wasimamizi wa human right
UN naomba tamko lake dhidi ya unyama huu unaofanywa na Tanzania Regime in the name of keeping Peace.
nimeshatuma email kadhaa UN kupitia anuani zifuatazo
Bi Asha Migiro ili tumfikishie ujumbe huu hapa chini ili ajionee mwenyewe human right violation inayofanywa na
Tanzania regime kwa raia wake kusudi langu kwake ni moja tu akiwa kama mmoja wa wasimamizi wa human right
UN naomba tamko lake dhidi ya unyama huu unaofanywa na Tanzania Regime in the name of keeping Peace.
nimeshatuma email kadhaa UN kupitia anuani zifuatazo
unicdc@unicwash.org New York kwa bwana wiliiam Davis. unic.daressalaam@unic.org namba ya simu 202 331 8670. |