ladypeace
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 935
- 506
Leo mchana nimejaza nikasabmit,ikakunali kabisa nakuja kuangalia naambiwa incomplete application, please complete your application. Na nilijaza vyema maana huwezi kwenda hatua ingine kama hujamaliza moja, natakiwa kwenye secondary background, college background na choice inaonekana hakuna kitu. Najaribu kuingia haitaki kusavu nifanyeje!