jamani naombeni mnisaidie nipate mfadhili wa kunisadia kulipa ada ya chuo mwenzenu.

Perry

JF-Expert Member
Feb 24, 2011
10,043
2,000
habari za wakati huu waheshimiwa!jaman naombeni mnisaidie nipate mfadhili wa masomo yangu ya chuo,nimechaguliwa kujiunga na chu flani hapa nchini kuchukua bachelor of economics with finance lakin bahati mbaya loans board wameninyima mkopo,sina msaada wowote as mimi ni sawa na yatima tu,nalelewa na mzazi mlezi ambae nae uwezo wake ni mdogo sana,matokeo yangu ya kidato cha sita sio mabaya sana as nina division 2.12 ila ndio hivo tena jaman nashindwa kuendelea na masomo sababu ya umasikini wangu,naomba kwa yeyote atakae guswa na hiki kilio changu ani PM,nisaidieni kwa namna yoyoye ile hata mchango wa mawazo naukaribisha...natanguliza shukrani.
 
Duh!!jaribu kutembelea kwenye makampun mbalimbali mayb wanaweza kukusave ndugu yangu,pia unaweza mface mbunge wako au unaweza kuwaface viongoz wako wa dini wao wakapgsha harambee kanisani.
 
usikate tamaa kaka upo mbioni kufaulu mtangulize mungu naye atafungua milango ya mbinguni watajitokeza mamia na mamia wa kukusaidia :yeremia33.3
 
wakuu umefika wakati badala ya kuchangishana pesa za harusi na send off tuchangishane fedha za kusomesha watu. Mimi naamini hata ndugu, jamaa na marafiki wakiamua kufanya harambee haikosekani pesa ya mtu kusoma chuo kikuu
inakuwaje kwenye maswala ya harusi ndugu, jamaa na marafiki wachange mamilioni ya fedha lakini kwenye ishu ya shule wasifanye hivyo?
 
  • Thanks
Reactions: len
wakuu umefika wakati badala ya kuchangishana pesa za harusi na send off tuchangishane fedha za kusomesha watu. Mimi naamini hata ndugu, jamaa na marafiki wakiamua kufanya harambee haikosekani pesa ya mtu kusoma chuo kikuu
inakuwaje kwenye maswala ya harusi ndugu, jamaa na marafiki wachange mamilioni ya fedha lakini kwenye ishu ya shule wasifanye hivyo?

Hata mimi huwa naumizwa sana na hii primitive system ya Baadhi ya wabongo kujitoa kwa hali na mali kwenye michango ya sherehe ya siku moja na kutokuchangia vi2 muhimu kama hivi.
 
  • Thanks
Reactions: len
pole xana mkuu...hope utafanikiwa...jaribu tembelea makanisani and jieleze then itafanywa harambee...
Pita kwa mkuu wa WILAYA..then akaundikie barua ya kusaidiwa place yoyote ile
inauma xana
 
Wakuu hapa mimi niawazo kama vipi mods wafanye mpango na kuanzisha jukwaa maalum la kuwasaidia watu kama huyu, iwekwe system ambayo tunaweza kuchangia hata kwa cm. hapa tupo wengi watu wakichanga hata buku tanotano tunaweza kulipa ada ya semista moja
 
pole xana mkuu...hope utafanikiwa...jaribu tembelea makanisani and jieleze then itafanywa harambee...
Pita kwa mkuu wa WILAYA..then akaundikie barua ya kusaidiwa place yoyote ile
inauma xana

asante kwa mawazo yako mkuu.nakuahidi nitayafanyia kazi.
 
Duh!!jaribu kutembelea kwenye makampun mbalimbali mayb wanaweza kukusave ndugu yangu,pia unaweza mface mbunge wako au unaweza kuwaface viongoz wako wa dini wao wakapgsha harambee kanisani.

ubarikiwe kwa mawazo yako ndugu yangu.
 
tunaomba ukitoa taarifa inayogusa kama hii jaribu kuonyesha details zote kwa mfano ada inayotakiwa kwa semester ni sh ngapi hilo moja, account yako kamili hiyo mbili, una mikakati gani kwa sababu mtu wa form 6 ni mzima huwezi kukosa ka mkakati hata ka kusema nilitaka kuanzisha kitu fulani ila nimekwama kwenye eneo fulani, mathalani pale bongo maeneo hata ya tandale hakuna internet cafe na manazese ni chache sana, tunaweza tukakuchangia ukaenda pale kariakoo ukanunua used computers za laki na ishirini hata PCS nne unaanzisha internet cafe kwa siku hukosi elfi ishirini on the long run utaweza kujikwamua while unacheza na management ya chuo kwa akili. mi nimemaliza MBA chuo fulani hadi mwisho na zwenge zilikuwepo bado nililipa ada semsester moja tu na shule nimemaliza ingawa nilizuiliwa kufanya mtihani semester moja ila ntafanya huko mbele ya safari. jaribu kuonyesha jitihadi then uje useme mimi jamani nimefikia hapa au mpango nilio nao ni huu ila nimekwama hivi na hivi itakurahisishia wewe na wenaoguswa kukuchangia. Pia unaweza kuangalia na spiritual solution, mimi nilipata kazi kubwa bila referee lakini nakumbuka nilikua nakwenda maombi hadi ya 3 kavu and then sasa hivi nakula dola za kutosha tu.
 
tunaomba ukitoa taarifa inayogusa kama hii jaribu kuonyesha details zote kwa mfano ada inayotakiwa kwa semester ni sh ngapi hilo moja, account yako kamili hiyo mbili, una mikakati gani kwa sababu mtu wa form 6 ni mzima huwezi kukosa ka mkakati hata ka kusema nilitaka kuanzisha kitu fulani ila nimekwama kwenye eneo fulani, mathalani pale bongo maeneo hata ya tandale hakuna internet cafe na manazese ni chache sana, tunaweza tukakuchangia ukaenda pale kariakoo ukanunua used computers za laki na ishirini hata PCS nne unaanzisha internet cafe kwa siku hukosi elfi ishirini on the long run utaweza kujikwamua while unacheza na management ya chuo kwa akili. mi nimemaliza MBA chuo fulani hadi mwisho na zwenge zilikuwepo bado nililipa ada semsester moja tu na shule nimemaliza ingawa nilizuiliwa kufanya mtihani semester moja ila ntafanya huko mbele ya safari. jaribu kuonyesha jitihadi then uje useme mimi jamani nimefikia hapa au mpango nilio nao ni huu ila nimekwama hivi na hivi itakurahisishia wewe na wenaoguswa kukuchangia. Pia unaweza kuangalia na spiritual solution, mimi nilipata kazi kubwa bila referee lakini nakumbuka nilikua nakwenda maombi hadi ya 3 kavu and then sasa hivi nakula dola za kutosha tu.

kwanza nashukuru kwa maelezo yako ndugu,chuo chenyewe ni uhasibu-arusha,ada kwa mwaka 1,500,000.mwanzo nilikua nafundsha hizi shule zetu za kata,lakini ilipofika mwishoni mwa mwezi wa sita,nilipgwa stop kuendelea kwa sababu kuna wanafunzi kutoka vyuo mbalimbali ambao waliletwa kwa ajili ya field,kwa hiyo vijisenti nilivo vikusanya vikaishia kwenye matumizi mbalimbali ya nyumban.naomba nikutoe hofu ndugu yangu,mimi nikiwezeshwa kwa namna yoyote ile naweza,ni mchapa kazi mzuri tu.
 
Wakuu hapa mimi niawazo kama vipi mods wafanye mpango na kuanzisha jukwaa maalum la kuwasaidia watu kama huyu, iwekwe system ambayo tunaweza kuchangia hata kwa cm. hapa tupo wengi watu wakichanga hata buku tanotano tunaweza kulipa ada ya semista moja
Ni mawazo mazuri ila ni nani atatunza kakibuyu ketu? Na ni nani atakuwa mkuu wa idara ya selection? Watu wataanza kufikiria kununua Vx kwa hizo 10% ili udhibitishwe ku qualify! lo!! Kazi kweli kweli.
 
Back
Top Bottom