Mkolokotiatanas
Member
- Mar 2, 2013
- 63
- 7
Mim ni kijana mwenye umri wa miaka 24 na elimu yangu ni Shahada,katika chuo kikuu Udsm,sasa nimeajiliwa na serikali,katika hospitali ya taifa Muhimbili,mim ni doctor wa mifupa.Nimepata msichana mwenye umri wa miaka 20 na amemaliza kidato cha sita ,amepata three ya 17,anahitaji nimpeleke chuo kikuu kwa gharama zangu,na atakapo maliza tuoane.NAOMBA USHAURI WENU WANAJAMII!