kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,666
- 4,365
Jamani naomba msaada wa dawa ya kujizuia kufuza Maana kwangu imekuwa Kama pepo saana
Yaani kujizuia siwezi kitu ambacho kinanikera saana
Sawa na jua kufuza sio kosa
But Kuna mazingira mengine ambayo una itaji break ili kuheshimu watu pale kitu ambacho kwangu akipo nikijaribu kujizuia inaponyoka yenyewe na kutoa bonge moja la harufu mbaya
Kama kuna yeyote ambaye anajua tatizo ili please help me
Yaani kujizuia siwezi kitu ambacho kinanikera saana
Sawa na jua kufuza sio kosa
But Kuna mazingira mengine ambayo una itaji break ili kuheshimu watu pale kitu ambacho kwangu akipo nikijaribu kujizuia inaponyoka yenyewe na kutoa bonge moja la harufu mbaya
Kama kuna yeyote ambaye anajua tatizo ili please help me