Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chuo cha uvuvi au taasisi yoyote ya serikali simshauri. Aende kwa wazalishaji binafsi akachukue. Akipata mbegu ya dume tupu (YY) itafaa zaidinenda bagamoyo chuo cha uvuvi, au JKT au SUA. watakupa na ushauri nasaha.
HDMI ebu dadavua kigodo, namake wengine tunawaogopa watu binafsi kwa sababu wanadanganya sana.Chuo cha uvuvi au taasisi yoyote ya serikali simshauri. Aende kwa wazalishaji binafsi akachukue. Akipata mbegu ya dume tupu (YY) itafaa zaidi
Kuna wazalishaji binafsi ambao wako vizuri. Mimi natumia sana vifaranga kutoka Bigfish (Kigamboni) au ukiweza Ruvu Fish Farm (Mlandizi)HDMI ebu dadavua kigodo, namake wengine tunawaogopa watu binafsi kwa sababu wanadanganya sana.
Ahsante sana kwa ushauri wako nashukuru ndugu yanguChuo cha uvuvi au taasisi yoyote ya serikali simshauri. Aende kwa wazalishaji binafsi akachukue. Akipata mbegu ya dume tupu (YY) itafaa zaidi
Nipo mbeya ndugu yangu, labda kama unafahamu sehemu yoyote huku naomba nielekezenenda bagamoyo chuo cha uvuvi, au JKT au SUA. watakupa na ushauri nasaha.
mimi niko Dar, kwa mikoani sina ideas yeyote labda ufunge safari au wasiliana na Bigfish au Ruvu fish farm kama HDMI alivyoshauri, ili uone kama wanaweza kukusafirishia huko ulipo.Nipo mbeya ndugu yangu, labda kama unafahamu sehemu yoyote huku naomba nielekeze
Ahsante sana kiongozi nashukuru kwa mrejesho!!mimi niko Dar, kwa mikoani sina ideas yeyote labda ufunge safari au wasiliana na Bigfish au Ruvu fish farm kama HDMI alivyoshauri, ili uone kama wanaweza kukusafirishia huko ulipo.
ahsante sana kaka, naenda leo hii hii maana bwawa liko tayariNenda kambi ya jkt Mbeya ipo ndani ya 8-8 wanafuga samaki
Usisahau kutuletea mrejeshoahsante sana kaka, naenda leo hii hii maana bwawa liko tayari
Kama uko mbeya mjini.. Nenda Iyunga kalobe, kuna jamaa anafuga sana samaki na ana hivo vifaranga vya kutoshaNipo mbeya ndugu yangu, labda kama unafahamu sehemu yoyote huku naomba nielekeze
daaaah ahsante sana ndugu yangu nitaenda, mimi nipo hapa iyungaKama uko mbeya mjini.. Nenda Iyunga kalobe, kuna jamaa anafuga sana samaki na ana hivo vifaranga vya kutosha
Atakushauri vizuri.kwenye Google map ukiangalia hiyo kalobe utaona location inaonekana
Karibu na kalobe primarydaaaah ahsante sana ndugu yangu nitaenda, mimi nipo hapa iyunga
Tunaomba mrejesho na maendeleo wa vifaranga wa samaki!!daaaah ahsante sana ndugu yangu nitaenda, mimi nipo hapa iyunga