Static electricityJamani Si Utani Ninatatizo Kila Nikivua Tshirt Inatokea Cheche Kama Vile Kupiga Shoti Je Hii Ni Nini?
Unatakiwa uende tanesco kuwauzia huo umeme (natania )
Teh teh teh! Sweeet u made ma day
Nenda kaulkize FB huku hamna dr wa mambo hayo
Nenda kaulkize FB huku hamna dr wa mambo hayo
Na aache kuvaa nguo za no smoking.Hii mi naona ipelekwe kule jukwaa la joke.
Mbona Swali lake kajibiwa na mkuu.@olyset netHaya sio maswali ya kidaktari, ni maswali ya gereji,lol
Mbona Swali lake kajibiwa na mkuu.@olyset netHaya sio maswali ya kidaktari, ni maswali ya gereji,lol