LOOOK
JF-Expert Member
- May 17, 2011
- 3,389
- 672
Huwa nashindwa jua ni kipi hasa mtu atajiona anafurahia ndoa yake kati ya hivi na kujiona kaoa au kaolewa
- upate baraka za watumishi wa mungu islam na ukristo (sijui kwa wapagani)
- upate cheti cha ndoa
- uwingi wa watu katika sherehe za harusi yako
- michango mikubwa katika harusi yako
- kutumia hammer kuanzia wapambe hadi mashabiki
- kuzurura na magari mji mzima wakati wa sherehe yako
- ndoa ya maharusi na wadhamini na mfungishaji tu, iwe kanisani, msikitini au bomani
- watu wale hadi wamwage chakula na vinywaj waoge kabisa
- kasherehe kadogo nyumbani na ndugu zako juu ya harusi yako
- kuishi kwa amani na upendo katika ndoa yako hata kama hamja funga ndoa kidini au kimilana kiserikali lakin mnapendana kiroho na kimwili kwa dhati wewe na mkeo au mumeo