faiza zuwer
JF-Expert Member
- Jul 26, 2017
- 400
- 169
Jamani nafasi za police lin zinatoka mwenye data kamili tujuzane wapedwa
Bado sana chuo cha polisi ccp kipo kwenye matengenezo
Ko hamna nafasi had mwakani au
Bado kuna wachina wanakikalabati kwa mwaka huu hawachukui kabisaKo hamna nafasi had mwakani au
Bado kuna wachina wanakikalabati kwa mwaka huu hawachukui kabisa
Unapata ajiraHiv ukienda jkt ukimaliza inakuaje
Unapata ajira
CCP wamekifunga kwa muda , subil mwakanJamani nafasi za police lin zinatoka mwenye data kamili tujuzane wapedwa
dah kweli vyuma vimekaza namna hii, post ya polisi kuliliwa hivi