Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Nilikuwa naangalia youtube ya Faustine Munishi anasema CCM wanataka kumuua, anasema maneno mazito kweli kweli. Bahati mbaya sijui ku-attach youtube file. Ni maneno mazito kweli kweli kama huyu bwana hana matatizo ya akili basi anatakiwa akamatwe kwa uchochezi anaofanya juu ya serikali yetu.