Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mfumo mbovu Wa elimu ulioasisiwa na viongozi Wa nchi hii ccm na genge lake .....
Ndio unawatesa sasa hivi wananchi.....
Rais mwenyewe ajawai kujiajiri...
Waziri mkuu,mawaziri na wakuu wa mikoa hivyo hivyo........
Alafu Leo unatoka kutwambia eti watu wajiajiri "Who are u?..
Mimi kiongozi anayeweza kuniambia nijiajiri labda ni Trump pekee lakini hawa Uchwara Wa afrika ni waongo na wanafiki.......
Mkuu MBONA MIMI CCM Damu Damu refer hata post ZANGU za nyuma uki review utaona jinsi navoipenda CCM Ila na mimi Hali mbaya nasubiri AJIRA na sipati HELA pia Hamna.. Sa MBONA nanyoshwa na sikudeki barabaraNgoja Mnyooshwe Mpaka Akili Za Kudeki Barabarani Ziwatoke
hahahaa kuna ukweli Fulani katika hiliukitaka kujua hao wanaohubiri watu wakajiajiri ni wanafiki, wasikie ajira zao ziko shakani uone wanavyopishana kwa waganga wa kienyeji!!
Ntaisoma namba kumnyima kura za kutisha Lowassa..angesambaratisha kabisa huo mfumo uliopo..Ndo maana Trump kakomaa kuuzika mfumo kibwanyenye watu wachache na familia,marafiki , washirika,wajukuu mpaka vining'ina vyao kujimilikisha keki yaTaifa...kweli nchi hujengwa na wenye moyo ila inaliwa na wenye meno..Mfumo mbovu Wa elimu ulioasisiwa na viongozi Wa nchi hii ccm na genge lake .....
Ndio unawatesa sasa hivi wananchi.....
Rais mwenyewe ajawai kujiajiri...
Waziri mkuu,mawaziri na wakuu wa mikoa hivyo hivyo........
Alafu Leo unatoka kutwambia eti watu wajiajiri "Who are u?..
Mimi kiongozi anayeweza kuniambia nijiajiri labda ni Trump pekee lakini hawa Uchwara Wa afrika ni waongo na wanafiki.......
kwakwel nimekaa kimya mda mrefu ila uvumilivu umenishinda!
kuna watu wao walishapata Mungu kawajaria lkn wanadharau sana hususa ni kwa vjana wanaosubiri ajira!
kuna watu hawana hata aya wao wameajiriwa lakin wanawakejeri wenzao ety wakajiajiri waache utumwa wa kutegemea ajira!
sasa mi niwambie ukweli mtu unamaliza chuo huna hata pa kuanzia hata hela hakuna mtaani ndo kabisa tunafanya shughuli sawa na STD VII, sometime ukizubaa huyo huyo STD VII ndo anakupa kibarua
sasa najiuliza hao wanaosema tukajiajiri kwann wasitupe mitaji walau tuwe wajasiliamari?
acheni unafki MUNGU YUPO MJUE
DC Happi anasema kuajiriwa ni utumwa lakini bado na yeye yupo kwenye ajira ila wengine wakajiajiri!? Hekaya za Abunwasi!
me nashangaa juz juz kwenye runinga namuona mweshmiwa flani wa kinondoni ety anawasihi vijana wajiajiri
yeye kapata hyo nafasi kwa kupewa anaanza kejeri
kwanini yeye ambaye ameshapata mtaji asiende kujiajiri hiyo nafasi akaachia wengine ambao hawajapata mitaji ili wajiajiri..?