mwanza1969
Member
- Aug 13, 2012
- 6
- 0
sio mambo ya photoshop haya???
Mi nimeshajua shida yake... njoo nikwambienan kamdhalilisha nan?
kwa akil zako timamu kabsa pasi na kuvunja kifungu chochote cha 64 umeamua kufikiri kafanya ivo kwa sababu ya mwanamke?ili amdhalilishe?
mbna pcha inaonekana kbsa the kibabu is mad....ana strp kwa raha zake?
au ilimarad tu umhusishe mwanamke kwenye janaba ili?
y usingesema tusijidhalilishe wanaume....?
u seems 2b infirior...cheap thinker n kid in mind......
WE MAGAMBA?
ndo wana swaga izi za kutokubali pilau liitwe pilau....:wacko:
Hata sisi wanaume, tuwapendini wake zetu. Tuwaheshimu na kuwathamini.
Kumbuka, mke wako ni dada wa mwenzako. Kibaya utakachomfanyia, ndio hichohicho atakacho fanyiwa dada yako.
Na kizuri utakacho mfanyia mkeo, ndicho atachofanyiwa dada yako
sasa ndo umkonyeze.nan kamdhalilisha nan?
kwa akil zako timamu kabsa pasi na kuvunja kifungu chochote cha 64 umeamua kufikiri kafanya ivo kwa sababu ya mwanamke?ili amdhalilishe?
mbna pcha inaonekana kbsa the kibabu is mad....ana strp kwa raha zake?
au ilimarad tu umhusishe mwanamke kwenye janaba ili?
y usingesema tusijidhalilishe wanaume....?
u seems 2b infirior...cheap thinker n kid in mind......
WE MAGAMBA?
ndo wana swaga izi za kutokubali pilau liitwe pilau....:wacko: