Rita iko poa.. Nime log in saivi. nime ingia kama kawaida .utakua ume kosea password au try kureset pass..nikifungua account inaniambia wrong user name or pasword wakati jana nmefungua ilikua poa kabisa
Ukreset paswed mpya unaipata wap??Rita iko poa.. Nime log in saivi. nime ingia kama kawaida .utakua ume kosea password au try kureset pass..
Poa ngj niwasiliane naoWata kutumia link kweny email yako au wasiliana nao. ceo@rita.go.tz info@rita.go.tz