Jamani msaada juu ya tatizo hili

Darucha

Senior Member
Dec 28, 2020
111
206
Jamani mm Nina tatizo la kusikia kidogo japokuwa namshukuru mungu pia kwa sababu nawaza je ningekuwa sisikii kabisa sijui ingekuwaje kwangu hii Hali imenifanya niwe natumia nguvu Sana katika baadhi ya mambo yangu Mimi Niko chuo first year kwa mfano lecture Kama anafundisha bila Mike napata tabu Sana inapelekea niwe natumia nguvu Sana kusoma pia kujiamini Kuna pungua Hali yangu hii kuna baadhi ya watu wanadhani najisikia sana inaniharibu kisaikolojia kuhusu hospitality nimeenda wanasema tatizo langu hawanishauri nivae hearing kwa sababu angalau nasikia vzr kidogo natamani nipate mtu au mshauri aniambie hilo tatizo ni dogo lisiharibu saikolojia yako na anipe Mbinu ya kuishi na hili tatizo nilione la kawaida kwa sababu linanifanya nishindwe kuishi na jamii inayonizinguka vizuri na kuwa ni mwenye wasiwasi na muoga na pia nataka chuoni niweze kusoma na kufaulu vzr hili tatizo lisiwe kikwazo kwangu karibuni kwa mawazo

 
pole kwa tatizo lako lilianza ukiwa na umri gani?..... Mimi chuo nimesoma course moja na mtu mwenye shida ya masikio na nilikuwa nae karibu sana tuliishi wote kuanzia mwaka wa 2 mwishoni na watatu......

Unaweza kufanya vizuri kuliko hata wanaosikia kwamaana wanaosikia wengi hawawi attentive na wanajiamini ila wewe ukawa na hiyo advantage.....inabidi uweke wazi shida yako kwa watu wa muhimu kama lecturers, rafiki wawili watatu wa karibu ili ikitangazwa test na sehem za kusoma uwe unaambiwa......

mimi summary zangu zote jamaa alikuwa anatoa copy, pia kama notes hatupewi alikuwa anachukua zangu, alikuwa anaperform vizuri sana kushinda wasiosikia muda mwingine anapona sisi tukiwa tunafanya make-up.....chamuhimu alikuwa na lecture mmoja aliemzoea sana akamuweka wazi shida yake so hata akiharibu kwa lecture mwingine basi huyu lecture wa karibu anamtetea au kumsaidia......

Nje ya masomo alikuwa anajitenga sana, ila alikuwa anajumuika mara moja moja na sijui huko kwao, pia aliajiriwa tulivyomaliza chuo, kati yangu na yeye na group letu yeye alikuwa wakwanza kuajiriwa sehemu nzuri tu, na kwamujibu wake alipata nafasi bila connection.....

Jiamini usitumie muda mwingi kujitesa kufikiria tatizo lako.....ufanye maongezi ya lazima mengine yasiyo ya lazima yapotezee tu mkuu.....pia jamaa alikuwa na kifaa cha masikio wanaita Hearing aid ila hakuwa anakivaa kwa mujibu wake alisema kinamsababishia uwezo wake wa kusikia kupungua yani hivyo vifaa vinaongeza sauti hivyo zinamchanganya..... Mungu akusaidie
 
unasoma course gani mkuu?

pole kwa tatizo lako lilianza ukiwa na umri gani?..... Mimi chuo nimesoma course moja na mtu mwenye shida ya masikio na nilikuwa nae karibu sana tuliishi wote kuanzia mwaka wa 2 mwishoni na watatu......

Unaweza kufanya vizuri kuliko hata wanaosikia kwamaana wanaosikia wengi hawawi attentive na wanajiamini ila wewe ukawa na hiyo advantage.....inabidi uweke wazi shida yako kwa watu wa muhimu kama lecturers, rafiki wawili watatu wa karibu ili ikitangazwa test na sehem za kusoma uwe unaambiwa......

mimi summary zangu zote jamaa alikuwa anatoa copy, pia kama notes hatupewi alikuwa anachukua zangu, alikuwa anaperform vizuri sana kushinda wasiosikia muda mwingine anapona sisi tukiwa tunafanya make-up.....chamuhimu alikuwa na lecture mmoja aliemzoea sana akamuweka wazi shida yake so hata akiharibu kwa lecture mwingine basi huyu lecture wa karibu anamtetea au kumsaidia......

Nje ya masomo alikuwa anajitenga sana, ila alikuwa anajumuika mara moja moja na sijui huko kwao, pia aliajiriwa tulivyomaliza chuo, kati yangu na yeye na group letu yeye alikuwa wakwanza kuajiriwa sehemu nzuri tu, na kwamujibu wake alipata nafasi bila connection.....

Jiamini usitumie muda mwingi kujitesa kufikiria tatizo lako.....ufanye maongezi ya lazima mengine yasiyo ya lazima yapotezee tu mkuu.....pia jamaa alikuwa na kifaa cha masikio wanaita Hearing aid ila hakuwa anakivaa kwa mujibu wake alisema kinamsababishia uwezo wake wa kusikia kupungua yani hivyo vifaa vinaongeza sauti hivyo zinamchanganya..... Mungu akusaidie
Asante Sana mkuu course yangu ni community development najua hii course inataka nijichanganye Sana lakini pia kwenye ushauri wako Kuna kitu nimekipata tatizo lilinianza wakati namiaka 20 Kaka kiufupi nilikuwa sijijui Kama na hili tatizo mpaka rafiki yangu alivyokuja kuniambia kuwa natatizo la kusikia mamaake alikuwa ananisoma tu siku zote na Mimi nikaja kugundua kweli na hili tatizo maana nakumbuka Kuna kipindi mzee wangu na ananiita mm Niko chumbani kwangu simsikii mpaka akawa anasema na kiburi be lakini mwisho wa siku be akaja kuelewa
 
Asante Sana mkuu course yangu ni community development najua hii course inataka nijichanganye Sana lakini pia kwenye ushauri wako Kuna kitu nimekipata tatizo lilinianza wakati namiaka 20 Kaka kiufupi nilikuwa sijijui Kama na hili tatizo mpaka rafiki yangu alivyokuja kuniambia kuwa natatizo la kusikia mamaake alikuwa ananisoma tu siku zote na Mimi nikaja kugundua kweli na hili tatizo maana nakumbuka Kuna kipindi mzee wangu na ananiita mm Niko chumbani kwangu simsikii mpaka akawa anasema na kiburi be lakini mwisho wa siku be akaja kuelewa
Pole mkuu je katika ukuaji wako umewahi tumia Quinine kutibu malaria au umewahi vaa sana earphone kwa kipindi kirefu i mean mfululizo kama miezi 2 au 3?
 
usiumie wenye tatizo la kusikia wapo wengi sana, kunatofauti ndogo sana kati ya anayesikia na asiyesikia usijione mpweke au labda hufai.......

jitahidi kutimiza wajibu wako bila kuwaza kesho italuwaje, unaweza sema usikazane chuo kesho wenzio wakaajiriwa wote, utabaki na majuto..... Just ishi na uwe na watu wanaojielewa hata kidogo kama marafiki ili wakusaidie na wakufihie shida (sio lazima wote wajue unashida).....

nakumbuka jamaa yangu haikuwa rahisi kugundua anashida ya kusikia, mara nyingi presentation maswali atajibiwa na wenzie so aliperform vizuri, alikuwa na girl somebody rebecca and walikuwa poa tu....

Then uzi ungekuwa jukwaa la hoja mchanganyiko wengi wangefunguka huku hawajauona ila wengi mbona humu wamesema wanapitia shida hiyo ma wanamaisha mazuri tu
 
Back
Top Bottom