ENZO
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 4,242
- 1,736
tatizo lako uhandsome
Mawanaume kazi bhana cyo UHB.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
tatizo lako uhandsome
Kama kawaida najongea ktk hili jamvi ila mwenzenu nina matatizo sana yaani kila demu ninae mpata hatukai muda mrefu ananimwaga,kama kuhonga naonga,kukalua ndo usiseme,halafu ni hb kinoma sasa sijui mtanisaidiaje wana jf?
Nenda kwa mganga-sumbawanga (kama ni mademu ndo wanaokusumbua) , Huo ndo ushauri pekee.
Maana kuna tofauti kubwa sana kati ya DEMU na MKE, Igekuwa ni mke basi nigekushauri vingine. Pole sana.
Chukua shombo la samaki weka kwenye sufuria chemsha kisha funika weka chini ya kitanda kwa muda wa wiki moja baada ya muda huo kupita chukua kikombe uwe unakunywa asubuhi na jioni.
ma HB wengi hawajui mapenzi asikwambie mtu cjui ni kwann aiseeKama kawaida najongea ktk hili jamvi ila mwenzenu nina matatizo sana yaani kila demu ninae mpata hatukai muda mrefu ananimwaga,kama kuhonga naonga,kukalua ndo usiseme,halafu ni hb kinoma sasa sijui mtanisaidiaje wana jf?
Mawanaume kazi bhana cyo UHB.