Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Kuna taarifa zinaendelea kuzagaa kuwa Mh JK amekwenda Mwanza leo hii, je hizi habari ni za kweli? Kama ni kweli, je amekwenda kufanya nini???
Huo ni uwongo, ni moja kati mauwongo mwingi yanayomwagu humu leo, JK anajiandaa kwenda Zanzibar kumsindikiza Dr. Shein kupokea matokeo rasmi yatatangwazwa leo muda wowote kuanzia sasa.
Tume ya uchaguzi Zanzibar, imeshikwa na kigugumizi kutangaza matokeo rasmi, kwa sasa wanabuni formular ya uchakachuaji!.
Si afie mbali tu!Masha is in hard time both Kisiasa na kiafya wakuu!
Huo ni uwongo, ni moja kati mauwongo mwingi yanayomwagu humu leo, JK anajiandaa kwenda Zanzibar kumsindikiza Dr. Shein kupokea matokeo rasmi yatatangwazwa leo muda wowote kuanzia sasa.
Tume ya uchaguzi Zanzibar, imeshikwa na kigugumizi kutangaza matokeo rasmi, kwa sasa wanabuni formular ya uchakachuaji!.
Masha is in hard time both Kisiasa na kiafya wakuu!
Ni kale kaugonjwa au?
Kwani haiwezekani kwenda Mwanza na Zanzibar leo hii hii!
habari za uhakika ni kuwa J.K. yupo Mwanza tangu jana usiku, na mpaka sasa matokeo ya ubunge hayajatangazwa na Masha na Diallo wamekataa kuyasaini. Maelfu na maelfu ya watu wapo halmashauri ya jiji la Mwanza wakisubiria matokeo ya uchaguzi yatangazwe wapewe taarifa sahihi za wapenzi wao watu makini sana Bwana Wenje (Nyamagana) na Higness (Ilemela) wakiwabwaga vibaya Waziri Masha na Bwana Diallo.
Sasa uwepo wa huyu J.K. sasa hivi Mwanza ni wa kuchakachua au??? Jamani wakitangaza tofauti italeta balaa na kuharibu amani tuliyonayo Mwanza. Nani aokoe janga hili?? Cha kufanya ni kutangaza matokeo halali tu!!!!!!