Jamani mke wa mtu ni sumu; afa baada ya kufanya mapenzi na mke wa mtu na uume wake kushindwa kurudi

Money Stunna

JF-Expert Member
Aug 9, 2011
13,054
6,281

Mwanaume mmoja aliyekadiriwa kuwa na umri wa miaka34 alifariki dunia wakati akipokea matibabu kutoka kwa waganga wa jadi baada ya uume wake kudaiwa kubakia umesimama baada ya kulala na Mke wa mtu.
Mwanaume huyo aliyetambuliwa kwa jina la Shelton Dinganga wa kijiji cha Zaranyika Road, Mambo.Kulingana na majirani, jambo hilo ambalo lilikuwa likiendelea kama siri ya familia na ndugu wa marehemu lilitokea wiki iliyopita. Majirani walisema kutishwa wakati wao walikuwa tu taarifa kuhusu kifo Dinganga na si ugonjwa wake.


Wakasema Dinganga alifanya ngono na mke wa mtu na kitendo hicho kilipelekea uume wake kuendelea kuerect huku sehemu nyingine za mwili wake ukiendelea kuvimba.

"Dinganga alifariki ghafla baada ya kurudi kutoka Kwekwe ambapo alikuwa amekwenda kumtembelea mmoja wa jamaa wa familia . Sisi tulishitushwa baada ya mmoja ya mwanafamilia kutuambia taarifa ya kifo chake na mipango ya mazishi kufanyika Jumanne asubuhi, "jirani aliviambia vyombo vya habari.

The neighbour said it was during Dinganga’s burial at Mkoba Cemetery on Wednesday last week when mourners later got the shocking news that he died when his séxual organ remained erect after having séx with a female relative in Kwekwe.When our news crew visited the house yesterday, Dinganga’s aunt, Ms Janet Gama confirmed the death.
She, however, refused to shed light on the causes of his death.
“Why do you want to know what caused the death of our relative? Yes he died at home and he had declined to be taken to the hospital but to then narrate the whole issue about Dinganga’s illness and subsequent passing away will not bring his life back,” said Ms Gama.
 
Ya kunasa tuliitafutia dawa ya kunasua....ambayo unatumia kabla ya kazi! then kuna kinga kabisa ambayo ukishapewa yenyewe mwendo mdundo
sasa naona kuna utaratibu mwingine, kinga ya kudindisha mfululizo ifanyiwe kazi
 
Ya kunasa tuliitafutia dawa ya kunasua....ambayo unatumia kabla ya kazi! then kuna kinga kabisa ambayo ukishapewa yenyewe mwendo mdundo sasa naona kuna utaratibu mwingine, kinga ya kudindisha mfululizo ifanyiwe kazi
Kama inadinda mfululizo, tafuta mwingine uendelee kubanjua !!!!
 
Daah, ikitafutwa dawa ya kunasa wanawake itakuwaje?. labda hiyo technologia itafanya mdomo wa mashine ukae wazi muda wote
 
kwetu kunaile ya tumbo kuvimba (kufula) gafla yaani mpaka kifo unakuwa mwili umevimba na yeyoto anayelia kwenye msiba naye anadhurika yaani kwa kifupi ni tego linatesa sana heshima hurudi ndani ya muda mfupi sana kwenda kuomba msamaha
 
Labda umfanye ableed 24/7 heavily.na iyo kubleed isiskie dawa yoyote kuizuia.


Daah, ikitafutwa dawa ya kunasa wanawake itakuwaje?. labda hiyo technologia itafanya mdomo wa mashine ukae wazi muda wote
 
Back
Top Bottom