Habari wadau,
nauliza hivi juzi kulikuwa na msiba wa mke wa Ben Mengi,sasa ulivyotangazwa kwenye vyombo vya IPP na Raisi wa nchi yetu Kikwete kukatiza shughuli za nchi na kuudhulia je uyu Ben Mengi au Mke wake ni nani katika jamii yetu labda ni mimi tu niko nyumba naomba mnisaidie kwa up-date jamani
nauliza hivi juzi kulikuwa na msiba wa mke wa Ben Mengi,sasa ulivyotangazwa kwenye vyombo vya IPP na Raisi wa nchi yetu Kikwete kukatiza shughuli za nchi na kuudhulia je uyu Ben Mengi au Mke wake ni nani katika jamii yetu labda ni mimi tu niko nyumba naomba mnisaidie kwa up-date jamani