mayenga
JF-Expert Member
- Sep 6, 2009
- 4,118
- 1,966
Rafiki yangu amebahatika kumpata mwenza wake wa maisha na ni mwaka wa tatu sasa tangu wapo kwenye ndoa.Tangu waoane na mwanamke huyu,furaha ya rafiki yangu imekuwa kubwa lakini yenye kuchanganyika na wasiwasi mkubwa.
Ni kawaida kusikia wanaume tunasema lazima mwanamke awe soft na mwenye mikono laini.Lakini kwa mwanamke huyu hali ni tofauti.Rafiki yangu akileta magunia ya mkaa mwanamke anabeba bila hata msaada wa mtu yeyote.Kuna nyumba wanajenga,nje kidogo ya jiji,wakati wa kwenda kununua mbao,matofali na simenti mwanamke alibeba mwenyewe.Mbaya zaidi mwanamke huyu akiamka saa kumi na moja kamili yeye ni tizi kwenda mbele.Ameaandaa kijimu cha kishikaji upenuni mwa nyumba na anapiga tizi mpaka rafiki yangu huyu anaogopa.
Katika mambo fulani jamaa anasema mkewe hachoki,ule usoft wa mikono na mwili mzima ndo basi tena haupo.Lakini cha kufurahisha zaidi mtaani hapo hakuna anayethubutu kuleta fujo,maana anagawa dose kama hana akili nzuri.Rafiki yangu ametokea kuwa na adabu ya kupitiliza.Amani imekuwa haba kwa rafiki yangu.
Ni kawaida kusikia wanaume tunasema lazima mwanamke awe soft na mwenye mikono laini.Lakini kwa mwanamke huyu hali ni tofauti.Rafiki yangu akileta magunia ya mkaa mwanamke anabeba bila hata msaada wa mtu yeyote.Kuna nyumba wanajenga,nje kidogo ya jiji,wakati wa kwenda kununua mbao,matofali na simenti mwanamke alibeba mwenyewe.Mbaya zaidi mwanamke huyu akiamka saa kumi na moja kamili yeye ni tizi kwenda mbele.Ameaandaa kijimu cha kishikaji upenuni mwa nyumba na anapiga tizi mpaka rafiki yangu huyu anaogopa.
Katika mambo fulani jamaa anasema mkewe hachoki,ule usoft wa mikono na mwili mzima ndo basi tena haupo.Lakini cha kufurahisha zaidi mtaani hapo hakuna anayethubutu kuleta fujo,maana anagawa dose kama hana akili nzuri.Rafiki yangu ametokea kuwa na adabu ya kupitiliza.Amani imekuwa haba kwa rafiki yangu.