Judgement
JF-Expert Member
- Nov 13, 2011
- 10,327
- 4,779
Aisee kumbe tuko wengi hii kitu bwana inakata stimu kabisa. Kama vipi ipigwe marufuku kabisa watu tuenjoy bhana
Si tuandamane ipigwe Ban ?
Aisee kumbe tuko wengi hii kitu bwana inakata stimu kabisa. Kama vipi ipigwe marufuku kabisa watu tuenjoy bhana
aisee hongera zako,mambo kompliketedi haya,ndo mana katika uzi huu kina mama kuingia marufuku!
Mmmh! hii mpya nayo!Ndio maana mimi huwa na2mia kondom za kumeza,yaani nazimeza kabisa kabla ya gemu!!!
Ni kweli kwa wengi ni balaa
Ila mkuu kuliko kupata vile vijamaa bora tuu uvae
Ikiwa na mpenzi ambaye umepima kuna raha yake bana hupati shida kama hizo
Kwenye miiba unaingia bila wasi wasi
hana lolote Nitonye bana,SL mtoto matawi,size yake matajiri ka sisi hapa.Du! umenikuna penyewe haswa! ukiwa ni mtoto wa kike unaeleza vitu asilia unaufahamu sana mama, nitonye bahati mbaya kashatangaza nia kwa sweetlady, ningemshawishi kw............
FL,unatafuta nin kwenye jando?mie nikajua ni wewe ndugu yangu
Mwambie awe na mpenzi mmoja mwaminifu waliyepima pamoja ajilie kwa nafasi shida zote za nini?
you are out of bounds! hapa jandoni.Poleni wakuu ..
Kuna jamaa mmoja alinipa story yake very
Similar to this one . Ila yeye ni ile harufu .
Akisha toa tu pipi kwenye begi ile harufu ina
Mlaza nyoka mazima...
Ndo kilicho mfanya achague mmoja , pima na sasa karibu ata engage kwakwe...
kipipi! kwani nin unapiga chabo jandoni?Waambie hao!!
Kama ni mimi ungenisaidiaje!?mie nikajua ni wewe ndugu yangu
Mwambie awe na mpenzi mmoja mwaminifu waliyepima pamoja ajilie kwa nafasi shida zote za nini?
hana lolote Nitonye bana,SL mtoto matawi,size yake matajiri ka sisi hapa.