maph
Senior Member
- Oct 16, 2012
- 177
- 50
Ndugu zangu naomba msaada wenu Mbuge wetu wa ukonga Eugean MWaiposa tunamtafuta sana kila sehemu lakini haonekani wala hapatikani mahali popote kama kuna mtu kamuona basi tunaomba atoe taarifa .......
Jimbo letu lina shida na maji hasa PUGU STATION -tunatumia muda mwibgi sana kutafuta maji , jamani tunaomba msaada wenu kwa yeyote anayeweza kutusaidia , mbugewetu sijuhi kama anajua hili tatizo kwa sababu hatumuoni wala kumsikia popote pale na sijuhi kama serikali inalijua hili tatizo hili miaka 52 ya uhuru lakini bado maji ni shida hapa km 21 kutoka mjini tena Wizara inayohusika na maji.
Itakuwani aibu kubwa kama huyu mbuge atakuja tena kutuomba kura 2015 na CCM kama mkimsimamisha tena mjue mtalikosa hilo jimbo.Eti yuko bize na Vikoba wakati maji ndo muhimu kuliko wote.pia najuta sana kwa kumpigia kura yangu sikujua haya yote . Tunaomba msaada basi hata apite pite maeneo ya huku mi sura yake nimeisahau kabisa .
Jimbo letu lina shida na maji hasa PUGU STATION -tunatumia muda mwibgi sana kutafuta maji , jamani tunaomba msaada wenu kwa yeyote anayeweza kutusaidia , mbugewetu sijuhi kama anajua hili tatizo kwa sababu hatumuoni wala kumsikia popote pale na sijuhi kama serikali inalijua hili tatizo hili miaka 52 ya uhuru lakini bado maji ni shida hapa km 21 kutoka mjini tena Wizara inayohusika na maji.
Itakuwani aibu kubwa kama huyu mbuge atakuja tena kutuomba kura 2015 na CCM kama mkimsimamisha tena mjue mtalikosa hilo jimbo.Eti yuko bize na Vikoba wakati maji ndo muhimu kuliko wote.pia najuta sana kwa kumpigia kura yangu sikujua haya yote . Tunaomba msaada basi hata apite pite maeneo ya huku mi sura yake nimeisahau kabisa .