Hivi ngeleja ametufanya watanzania kama watoto? Kujitoa kwenye tv eti mgao utapungua makali wakati ndo umeongezeka mana yake nn? Halafu na pinda nae kanyamaza kimya wakati yy ndo alitetea hoja bungeni, mwezi wa tisa umeshafika katikati hakuna kinachoendelea yani umeme unakatika saa 2 asbh unarudi saa 5 usiku. We ngeleja tuambie kinachoendelea