Jamani,naomba wana JF tulijadili hili kwani kwangu imekuwa kero sana,yaani hata kazi za kuoika chai,karani,kufagia wapewe wahamihaji harum ,ambao wengi sana wanatokea Kenya.Naomba Idara ya Uhamihaji ifanye kazi ipasavyo,ndio hao sasa wanaongaika sana hili wapate hati ya kupigia kura kama raia ,jamani kweli tutafika- hata wazungu wengine wankuja kufanya kazi za ukarani tu hapa bongo,na permit zinatolewa kwa zaidi ya miaka miwili,nadhani sheria sio zaidi ya miaka miwili,utakuta mhamihaji kakaa hapa mpaka kanunua shamba sehemu.
Tunaomba Idara husika itupie macho hili.Haswa kwenye hizi kampuni za kigeni hapa d,salaam.
naomba tuoa hoja.(ili cctv isijeninasa,maana ndio haohao)>
Tunaomba Idara husika itupie macho hili.Haswa kwenye hizi kampuni za kigeni hapa d,salaam.
naomba tuoa hoja.(ili cctv isijeninasa,maana ndio haohao)>