TAKUKURU ni chombo muhimu sana katika nchi hii lakini kauli tata za TAKUKURU juu ya Richmond na sakata la Rada yanatia dasari taasisi hiyo.Hosea ajiuzu TAKUKURU iwe safi na kama hataki awajibishwe na Rais kwani hata Rais inamtia dosari kwani iko chini yake.Jamani tuseme hapana kwa Hosea,"enough is enough".