Pelham 1
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 548
- 99
Hivi hii ni akili kweli au kupoteleza pesa bure ili hali vyuma vinabana na Wananchi wana shida, kero na matatizo mbali mbali yanayotukabili.
Eti Maulid Said Mtulia anajiudhulu UKAWA Ubunge anahimia CCM nafasi hiyo hiyo ya Ubunge na jimbo hilo hilo la Kinondoni.
Mi ni mmoja wa waliompigania kura na kusimamia haki kupitia Ukawa mpaka akashinda tena bure bila malipo nikishirikina na Washikaji zangu leo jamaa amesahau utu wetu maumivu yetu na jasho la kukutetea haki mpaka kuipata nafasi ya Ubunge Cuf eti anatuchezea akili nakurudi tena upande wa pili akidai tena apigiwe kura.
Mungu anamuonaaa..hapa duniani na kesho akhera ajiandae akumbuke sisi sio wafanyama tulioumia na kujitoa kwa ajili yake mpaka kukaa kiti cha Mfalme nakituchezea akili INAUMA SANAAAA...Wengine tuligombana mpaka na familia zetu nakutengwa just kwa ajili yake we jiulize ni uchungu na maumivu kiasi gani tulionayo.
Eti Maulid Said Mtulia anajiudhulu UKAWA Ubunge anahimia CCM nafasi hiyo hiyo ya Ubunge na jimbo hilo hilo la Kinondoni.
Mi ni mmoja wa waliompigania kura na kusimamia haki kupitia Ukawa mpaka akashinda tena bure bila malipo nikishirikina na Washikaji zangu leo jamaa amesahau utu wetu maumivu yetu na jasho la kukutetea haki mpaka kuipata nafasi ya Ubunge Cuf eti anatuchezea akili nakurudi tena upande wa pili akidai tena apigiwe kura.
Mungu anamuonaaa..hapa duniani na kesho akhera ajiandae akumbuke sisi sio wafanyama tulioumia na kujitoa kwa ajili yake mpaka kukaa kiti cha Mfalme nakituchezea akili INAUMA SANAAAA...Wengine tuligombana mpaka na familia zetu nakutengwa just kwa ajili yake we jiulize ni uchungu na maumivu kiasi gani tulionayo.