Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,137
kwaanza napenda kuwapa pole nduguzangu wakina mwakangata Mungu awape nguuv wakati huu mkiusafirisha mwili wa marehemu..kuna mandishi alitngaza kugombania ubunge najaribu kumfananisha na marehemu..na kwenye maelezo nimeambiwa ana mwaka mmoja ameanza kuumwa najiuliza kama ni yeye mbona alikuwa mzima alianza lini jamani aka yetu lusekelo..
Mungu amlaze pema pepon
Mungu amlaze pema pepon