5997
JF-Expert Member
- Jan 19, 2019
- 514
- 1,204
Wakuu
Mapenzi mi siyaelewi kabisa, yananitia tu katika stress, nilipokua single nilikua fresh kabisa nilipoingia kwenye uhusiano
Ni stress tupu mawazo chungu nzima
Wivu, hila yani mapenzi hayana maana yoyote zaidi ya kuongezeana matatizo tu,
Sina amani kabisa mpaka hatua nyingine mtu unataka kuchanganyikiwa?
Usingizi shidaa kupata
Mapenzi yana maana gani sasa
Si bora mtu kubaki hivyohivyo tu?
Natamani kutoka lakini unashindwa, nafuta namba huku ninayo kichwani!
Sitaki mapenzi Mimi, sitaki uhusiano, sitaki kufa mapema,
Better to be alone,
Hakuna faida yoyote zaidi ya kukumbatiana tu na kifanya mapenzi,
Si bora nikanunue tu mtu Wa kulala nae kisha aende zake kuliko kukaa unawaza limtu kichwani mwako?
Niambieni Nini faida ya mapenzi zaidi ya kufanya na tu?
UJINGA UJINGA TU!
I HATE YOU LOVE
Mapenzi mi siyaelewi kabisa, yananitia tu katika stress, nilipokua single nilikua fresh kabisa nilipoingia kwenye uhusiano
Ni stress tupu mawazo chungu nzima
Wivu, hila yani mapenzi hayana maana yoyote zaidi ya kuongezeana matatizo tu,
Sina amani kabisa mpaka hatua nyingine mtu unataka kuchanganyikiwa?
Usingizi shidaa kupata
Mapenzi yana maana gani sasa
Si bora mtu kubaki hivyohivyo tu?
Natamani kutoka lakini unashindwa, nafuta namba huku ninayo kichwani!
Sitaki mapenzi Mimi, sitaki uhusiano, sitaki kufa mapema,
Better to be alone,
Hakuna faida yoyote zaidi ya kukumbatiana tu na kifanya mapenzi,
Si bora nikanunue tu mtu Wa kulala nae kisha aende zake kuliko kukaa unawaza limtu kichwani mwako?
Niambieni Nini faida ya mapenzi zaidi ya kufanya na tu?
UJINGA UJINGA TU!
I HATE YOU LOVE