Kwan nimekuoa uje ujipake uwanja na shadow.
Kulala siwezi,kukaa siwezi....chakula sitaki nakiona sumu.
hapo akizembea tu hiyo kanga ikidondoka!heeee!Kulala siwezi,kukaa siwezi....chakula sitaki nakiona sumu.
kama yanakutatiza achana nayo kuna kazi nyingine kama utawa, ulevi, kulima na kufuga... Chaguo ni lako manake kama yanakutatiza na unaendelea kuyang'ang'ania ujue israel hayuko mbali na wewe na hivi anatafuta hesabu ya kungunga mwaka.
Utaparamiwa wewe, mjini kazi nyingi